Yanga yashenyentwa na alhilal

Yanga yashenyentwa na alhilal

   ni mtanange wa kombe la africa maarufu kama caf uliopigwa jioni ya leo katika dimba la taifa la benjamin mkapa dar es salaam , ambapo yanga imeambulia kipigo cha bao mbili kwa sifuri magoli yaliyofungwa na mshambuliaji coulibaly goli la kwanza , na mwishoni kabisa mozami akimalizia goli la pili

Source : benga mshedede