
wavamia kituo cha kupigia kula
kundi la vijana katika kata ya Lwahnima wilaya ya nyamagana jijini mwanza wamevania kituo cha kupigia kula na kuondoka na karatasi za kula za mwenyekiti,. kwa mujibu wa msimamizi wa uchaguzi wa kata hiyo ndugu Queen Emannuel anasema vijana wamekamatwa na wanaendelea na mahojiao
Source : baby