WAKENYA WAMJIA JUU DIAMOND

WAKENYA WAMJIA JUU DIAMOND

wakenya wamjia juu diamond baada ya msanii huyo kuto perform kwenye tamasha lililoandaliwa usiku ya jana nchini kenya, wengi wao wamechukizwa na hilo, kwani wengi walijiandaa kumuona diamond akiperfom lakini akuweza kutokea. Inasemekana diamondplatnumz alitaka anze kabla ya Willy pozee ili aende kwenye appearance sehemu nyingine.

You may also like

DIAMOND AZUNGUMZA KILICHOTOKEA NAIROBI

DIAMOND AZUNGUMZA KILICHOTO...

JAY Z,DIDDY WASHITAKIWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 13, MWAKA 2000.

JAY Z,DIDDY WASHITAKIWA KUM...

WAFUNGWA 1548 WASAMEHEWA

WAFUNGWA 1548 WASAMEHEWA

SYRIA, ANG'OLEWA MADARAKANI BAADA YA KUTAWALA KWA MIAKA 53.

SYRIA, ANG'OLEWA MADARAKANI...