RUTO MWENYEKITI EAC

RUTO MWENYEKITI EAC

Rais wa Kenya William Ruto ametangazwa rasmi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) uamuzi huo umetangazwa  katika Mkutano wa 24 wa Wakuu wa Nchi Wachama  wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) Jijini Arusha Tanzania November 30,2024 Akichukua nafasi hio kutoka kwa Rais wa Sudan, Salva Kir Mayardit ambaye amemaliza muda wake 

You may also like

DIAMOND AZUNGUMZA KILICHOTOKEA NAIROBI

DIAMOND AZUNGUMZA KILICHOTO...

JAY Z,DIDDY WASHITAKIWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 13, MWAKA 2000.

JAY Z,DIDDY WASHITAKIWA KUM...

WAFUNGWA 1548 WASAMEHEWA

WAFUNGWA 1548 WASAMEHEWA

SYRIA, ANG'OLEWA MADARAKANI BAADA YA KUTAWALA KWA MIAKA 53.

SYRIA, ANG'OLEWA MADARAKANI...