AJALI YA LORI UBUNGO RIVERSIDE

AJALI YA LORI UBUNGO RIVERSIDE

Mmoja anasadikiwa kufariki dunia na wengine Wanne kujeruhiwa, baada ya lori la mchanga lenye namba za usajili T405 DPJ  kufeli breki na kugonga fremu tatu zinazouza samaki na magodoro eneo la Ubungo-Riverside, jijini Dar es Salaam.

 Mashuhuda wa ajali hiyo iliyotokea mapema leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 wameiambia LOKOLE APP kuwa gari hilo lilifeli breki wakati likishuka katika daraja la John Kijazi kuelekea Buguruni. 

You may also like

DIAMOND AZUNGUMZA KILICHOTOKEA NAIROBI

DIAMOND AZUNGUMZA KILICHOTO...

JAY Z,DIDDY WASHITAKIWA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 13, MWAKA 2000.

JAY Z,DIDDY WASHITAKIWA KUM...

WAFUNGWA 1548 WASAMEHEWA

WAFUNGWA 1548 WASAMEHEWA

SYRIA, ANG'OLEWA MADARAKANI BAADA YA KUTAWALA KWA MIAKA 53.

SYRIA, ANG'OLEWA MADARAKANI...